Posted by On the spot Tz
1:24:00 PM
0
Kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajib ameanza majaribio yake vizuri baada ya kupiga bao akiwa mazoezini na klabu ya Golden Arrows ya Afrika Kusini.
Ajib ambaye aliondoka nchini bila kuomba ruhusa kwa uongozi wa Simba ameanza majaribio hayo leo katika klabu hiyo ya Ligi Kuu Afrika Kusini.
Meneja wake, Juma Ndambile amesema Ajib ameanza vizuri kwani pamoja na bao hilo, alicheza vizuri.
"Walifanya mazoezi mengine ya kawaida, baadaye kocha akaamua wacheze full game. Nafikiri alitaka kumuona.
"Ajib alicheza vizuri kwa kweli, amefanikiwa pia kufunga bao zuri kabisa," alisema.
"Kesho ataendelea na majaribio yake na itakuwa hivi kwa siku kadhaa zijazo."
Awali Ndambile alisema Ajib akimalizana na Arrows na kama mambo hayatakuwa mazuri, atafunga safari hadi katika kikosi cha daraja la kwanza cha Amazulu ambako pia amepewa nafasi ya kufanya majaribio.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: