Posted by On the spot Tz
9:04:00 AM
0
Baada ya Yanga kufungwa mabao 2-1 na Al Ahly ya Misri na hivyo kutolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa jumla ya mabao 3-2, timu hiyo ya Jangwani sasa imepangiwa timu kutoka Angola katika Kombe la Shirikisho hatua ya mtoano.
Kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (Caf) zinaeleza kuwa timu ambazo zitatolewa katika Raundi ya Pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika zitashuka katika Kombe la Shirikisho ambapo huko zitakutana na timu nane zilizosonga mbele ambapo zitacheza mechi za mtoano za nyumbani na ugenini kisha zitakazofuzu zitaingia hatua ya makundi.
Baada ya Yanga kutolewa, sasa itakutana na Sagrada Esperança baada ya droo kupangwa jana huku Yanga ikitakiwa kuanzia nyumbani wiki ya Mei 6-8, mwaka huu na marudio ni Mei 17-18, 2016.
RATIBA KAMILI YA MTOANO KOMBE LA SHIRIKISHO IPO HIVI:
MO Béjaïa (Algeria) Vs (Tunisia) Espérance de Tunis Stade Malien (Mali) Vs (Morocco) FUS Rabat
Étoile du Sahel (Tunisia) Vs (Gabon) CF Mounana
TP Mazembe (DR Congo) Vs (Tunisia) Stade Gabèsien
Al-Ahli Tripoli (Libya) Vs (Misri) Misr El-Makasa
Al-Merrikh (Sudan) Vs (Morocco) Kawkab Marrakech
Young Africans (Tanzania) Vs (Angola) Sagrada Esperança
Mamelodi Sundowns (Sauz) Vs (Ghana) Medeama
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: