Posted by On the spot Tz
10:44:00 AM
0
Mashabiki wa timu ya Coastal Union wameandaa wimbo maalum kwa ajili ya Yanga lakini watakuwa wakiimba kwa lugha ya Kiarabu.
Yanga
watakuwa wageni wa Coastal Union katika mechi ya nusu fainali ya Kombe
la FA itakayopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga, kesho.
Coastal Union imeingia nusu fainali baada ya kuitwanga Simba kwa mabao 2-1 katika hatua ya robo fainali.
Mashabiki hao, wameamua kutumia wimbo wa Kiarabu kwa jina la “Helua Helua”, ili kuwachanganya Yanga.
Said
Salim, mmoja wa mashabiki wa Coastal Union ameiambia SALEHJEMBE, kwamba
watakuwa wakifanya hivyo ili kuwaonyesha kweli wao ni Waarabu wa Tanga.
“Wanatuita
Waarabu wa Tanga, sasa wanakuja kuchukua zao tatu hapa. Tutaendelea
kupambana, kwamba tunafunga wao, wakati tunasubiri fainali, tunawamaliza
huku jirani zetu na kubaki ligi kuu,” alisema.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: