Posted by On the spot Tz
10:42:00 PM
0
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo juzi wakati wa uzinduzi wa Daraja la kisasa la Kigamboni ambalo litakua mfano Afrika mashariki, huku akiwaomba Kuandika kwa kuitangaza nchi Kwanza
Dkt. Magufuli amesema kuwa kama waandishi wasipoitangaza Tanzania hakuna mwingine wa kuweza kufanya hivyo na ndio maana hata nchi jirani wanadiriki kunadi maliasili za Tanzania kuwa zinapatikana nchini kwao.
Aidha rais Magufuli amewaomba wahariri wa habari kuweka kurasa za mbele habari za maendeleo pia sio kila baya ndio ziwe katika ukurasa wa mbele bila kujali mazuri yaliyofanyika kwa wakati huo.
“Kwa ndugu zangu waandishi ninawaomba muitangaze Tanzania, muitangaze Tanzania mmuipende Tanzania, tusiwe wepesi wa kuandika mabaya tu ya Tanzania kila baya lipo kwenye front page zuri hakuna”Rais Magufuli alisema
onthespottz.blogspot.com
Dkt. Magufuli amesema kuwa kama waandishi wasipoitangaza Tanzania hakuna mwingine wa kuweza kufanya hivyo na ndio maana hata nchi jirani wanadiriki kunadi maliasili za Tanzania kuwa zinapatikana nchini kwao.
Aidha rais Magufuli amewaomba wahariri wa habari kuweka kurasa za mbele habari za maendeleo pia sio kila baya ndio ziwe katika ukurasa wa mbele bila kujali mazuri yaliyofanyika kwa wakati huo.
“Kwa ndugu zangu waandishi ninawaomba muitangaze Tanzania, muitangaze Tanzania mmuipende Tanzania, tusiwe wepesi wa kuandika mabaya tu ya Tanzania kila baya lipo kwenye front page zuri hakuna”Rais Magufuli alisema
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: