Posted by On the spot Tz
8:44:00 PM
0
Mkuu wa Wilaya Mteule wa Kinondoni amekuwa na kikao na Mkurugenzi Mkuu wa Clouds Media Group Bw. Ruge Mutahaba.
Pia Alipewa nafasi ya kusalimia kwenye kikao cha Management ya Clouds.
Kikubwa Zaidi DC wa Kinondoni Ameandaliwa Sherehe ya kupongezwa na Akakataa Sherehe hiyo na kuwaomba Garama hizo za Sherehe kwa maana ya Chakula na Vinywaji Wachangie Madawani kwa wilaya ya Kinondoni.
Kisha alipata wasaa wakuzungumza ktk Kipindi cha Leo Tena.
Pia Alipewa nafasi ya kusalimia kwenye kikao cha Management ya Clouds.
Kikubwa Zaidi DC wa Kinondoni Ameandaliwa Sherehe ya kupongezwa na Akakataa Sherehe hiyo na kuwaomba Garama hizo za Sherehe kwa maana ya Chakula na Vinywaji Wachangie Madawani kwa wilaya ya Kinondoni.
Kisha alipata wasaa wakuzungumza ktk Kipindi cha Leo Tena.

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: