Posted by On the spot Tz
7:45:00 PM
0
Mshambuliaji wa Leicester City, Riyad Mahrez amechaguliwa kuwa mwanasoka bora wa Ligi Kuu England.
Mahrez raia wa Algeria amebeba tuzo hiyo akiwapiga wachezaji kadhaa wakiwemo Jamie Vardy na N’Golo Kante anaocheza nao timu moja. Mwingine ambaye amemshinda ni Mesut Ozil wa Arsenal pamoja na Dimitri Payet wa West Ham United.
Tokea mwanzo, ilionekana Mahrez alikuwa na nafasi ya kutwaa tuzo hiyo kutokana na ushiriki wake yakinifu wenye ufanisi wa juu katika kikosi cha Leicester ambayo inaelekea kubeba ubingwa.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: