Posted by On the spot Tz
8:29:00 AM
0
Afisa mmoja wa Burundi amesema kuwa wanachama wanne wa chama tawala cha nchi hiyo wameuawa kwenye shambulio katika ghasia zinazoendelea kuhusiana na kurefushwa muhula wa kusalia madarakani Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo.Jerome Ntakarutimana Mkuu wa wilaya ya Mugamba mkoani Buriri amsema kuwa shambulio hilo lilifanywa kwa wafuasi wa chama tawala cha Burundi ambao walikuwa wamekusanyika kwa ajili ya shughuli ya kusafisha mazingira. Mtu mwingine aliyenusrika na shambulio hilo amesema kuwa wanachama hao wanne waliaga dunia baada ya watu wenye silaha waliovalia sare za jeshi kushambulia baa moja juzi Jumamosi na kufyatua risasi. Shambulio hilo limeifanya idadi ya watu waliouliwa Burundi tangu wiki iliyopita kufikia kumi.
Hatua ya Nkurunziza ya kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu imesababisha machafuko ya kisiasa Burundi ambapo hadi sasa raia wa nchi hiyo zaidi ya 400 wameuawa
Tagged with:
KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel. »
Previous
This is the last post.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: