Posted by On the spot Tz
9:54:00 AM
0
Young Killer amefungua milango kwa mwandishi yeyote anayeweza na mwenye nia ya kumwandikia wimbo utakaokuwa kwenye level zake.
Pia amekaribisha producer yeyote mchanga mwenye uwezo wa kutengeneza midundo mikali.
Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa huu ndio muda muafaka kwakuwa hakuwahi kuandikiwa nyimbo hapo kabla na mashabiki tayari wameshaufahamu uwezo wake mkubwa alionao kwenye sanaa.
“Nishaonyesha uwezo mkubwa na sikuwahi kuandikiwa nyimbo hata siku moja toka nimeanza,” amesema. “Sasa nafungua dirisha la usajili kwa yeyote anayetaka kuniandikia ngoma kali iwe na uwezo ambao mkubwa kama au zaidi na pia nakaribisha maproducer hata akiwa mchanga lakini ana uwezo ambao anaona utafanana na mimi namkaribisha,” amesisitiza.
Wiki hii rapper huyo aliachia ngoma mpya iitwayo Mtafutaji.
Pia amekaribisha producer yeyote mchanga mwenye uwezo wa kutengeneza midundo mikali.
Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa huu ndio muda muafaka kwakuwa hakuwahi kuandikiwa nyimbo hapo kabla na mashabiki tayari wameshaufahamu uwezo wake mkubwa alionao kwenye sanaa.
“Nishaonyesha uwezo mkubwa na sikuwahi kuandikiwa nyimbo hata siku moja toka nimeanza,” amesema. “Sasa nafungua dirisha la usajili kwa yeyote anayetaka kuniandikia ngoma kali iwe na uwezo ambao mkubwa kama au zaidi na pia nakaribisha maproducer hata akiwa mchanga lakini ana uwezo ambao anaona utafanana na mimi namkaribisha,” amesisitiza.
Wiki hii rapper huyo aliachia ngoma mpya iitwayo Mtafutaji.

Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: