Posted by On the spot Tz
12:40:00 PM
0

Mashabiki wa Yanga sasa wana amani tele baada ya kupata uhakika kuwa kiungo kinda, Juma Mahadhi ni mali yao.
Awali ilionekana kama ni tetesi na taarifa zisizokuwa na uhakika sana. Lakini baada ya gazeti la michezo la Championi kutoa kwa mara ya kwanza, picha ya Mahadhi akisaini Yanga, mashabiki wengi wametuma maoni yao kwenye salehjembe@gmail.com na kusema, sasa wana uhakika na hawana hofu hata kidogo na uongozi wao.
“Utaona ni uongozi unaofanya mambo kwa uhakika, ligi inaisha wenyewe wameishamaliza kazi,” alisema Abdallah Hamis.
“Mimi nimefurahishwa kwa kuwa ninaamini wachezaji hao ni mapendekezo ya kocha,” aliandika Mchaki Salum.
“Mtazamo wangu ni tofauti kidogo, nimevutwa zaidi na kwamba Yanga imesajili wachezaji wote vijana na wenye vipaji, mtihani utabaki kwao na kwetu mashabiki kuwaunga mkono,” aliandika Stanley Mkomwa.
Mashabiki hao kila mtu alikuwa na maoni yake, wengine wakiwaasa wachezaji hao kubadilika na kujituma zaidi kwa kuwa Yanga ni sehemu yenye ushindani wa juu zaidi kuliko Simba na Coastal Union.
Yanga imewanaza Kessy kutoka Simba ambaye mkataba wake ulikuwa umeisha na Mahadhi kutoka Coastal Union iliyoporomoka hadi daraja la kwanza.
Mashabiki wa Yanga sasa wana amani tele baada ya kupata uhakika kuwa kiungo kinda, Juma Mahadhi ni mali yao.
Awali ilionekana kama ni tetesi na taarifa zisizokuwa na uhakika sana. Lakini baada ya gazeti la michezo la Championi kutoa kwa mara ya kwanza, picha ya Mahadhi akisaini Yanga, mashabiki wengi wametuma maoni yao kwenye salehjembe@gmail.com na kusema, sasa wana uhakika na hawana hofu hata kidogo na uongozi wao.
“Utaona ni uongozi unaofanya mambo kwa uhakika, ligi inaisha wenyewe wameishamaliza kazi,” alisema Abdallah Hamis.
“Mimi nimefurahishwa kwa kuwa ninaamini wachezaji hao ni mapendekezo ya kocha,” aliandika Mchaki Salum.
“Mtazamo wangu ni tofauti kidogo, nimevutwa zaidi na kwamba Yanga imesajili wachezaji wote vijana na wenye vipaji, mtihani utabaki kwao na kwetu mashabiki kuwaunga mkono,” aliandika Stanley Mkomwa.
Mashabiki hao kila mtu alikuwa na maoni yake, wengine wakiwaasa wachezaji hao kubadilika na kujituma zaidi kwa kuwa Yanga ni sehemu yenye ushindani wa juu zaidi kuliko Simba na Coastal Union.
Yanga imewanaza Kessy kutoka Simba ambaye mkataba wake ulikuwa umeisha na Mahadhi kutoka Coastal Union iliyoporomoka hadi daraja la kwanza.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: