Posted by On the spot Tz
8:11:00 PM
0
Habari nzuri kwa mashabiki wa Bayern Munich, Manuel Neuer ni kuwa kipa wao wamesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia timu hiyo mpaka mwaka 2021.
Neuer, 30, alijiunga klabuni hapo akitoka Schalke kwa euro milioni 30 mwaka 2011 na tangu hapo ameshinda mataji matatu ya Bundesliga na Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 2013.
Kipa huyo wa timu ya taifa ya Ujerumani alikuwa akihusishwa kuwaniwa na Manchester City, klabu ambayo kocha wake wa sasa, Pep Guardiola atatua msimu ujao.
Inaelezwa kuwa mkataba huo wa sasa utamwezesha kuwa mmoja wa wachezaji wanaolipwa vizuri kikosini hapo akiwa sawa na mshambuliaji Thomas Muller ambaye analipwa euro milioni 15 kwa mwaka.
Mkataba uliokuwepo kabla ya huo wa sasa wa Neuer ulikuwa ukimalizika mwaka 2019.
Kipa huyo mpaka sasa ameshacheza mechi 313 katika Bundesliga akiwa katika timu zote za Schalke na Bayern.
othespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: